1. Siku zote kumbuka usiibebeshe mzigo mkubwa socket au plug yako, hapa waliowengi hufanya ivo, unakuta point moja ya Switch socket imebeba Frige,Redio,TV,charger za kila aina,Pasi,blenda,heater. hili ni kosa Tunakushauri kutumia socket tofauti-tofauti ili kuepukana na hili tatizo.
2. Nunua...