Kiukweli Suala la maendeleo ya Taifa ni jukumu la hao viongozi walio katika nyazifa sisi kama raia ni suala la maendeleo binafsi tu, kama kuhakikisha unapata maisha mazuri kwa namna yoyote na uhakikishe familia haikosi kitu, ila tukija upande wa maendeleo kwa level ya kitaifa huwezi sema ni...
Kikubwa ndiyo ni kufumua yaani kupata nafasi ya kutengua kila kitu, shida ni hawa ambao wapo kwenyr system ndo hawatki kabisa mtu anayeonekana wamaana aingilie mambo yao, ndiyo maana wanafanya kila kitu kuweza kujilinda zaidi kila siku katika nafasi zao
CCM pale hakuna chama kama ilivyo CDM Tu, hata Watu wenye akili wanaelewa hivyo wote wapo kimaslahi ndiyo maana ikikuwa rahisi hata ACT kupata raia mapema maana wananchi wenyewe wamechoka dana dana za hivi vyama vikubwa. Wengi wapo kwa ajili ya kula keki ya Taifa na sio kuitengeneza ikawe chachu...
Hili ndo tatizo kutokana na uendeshwaji wake. Kuna Muda nawaza hata yakifanyiwa ubinafsishwaji inaweza kuwa na tija kuliko kuendelea kung'ang'aniwa na Serikali
Nadhani itakuwa best Mkuu option ikiendana na kuangalia namna hasara hiyo inaweza kufidiwa, maana ukisema kutumbua tu ni kama kazi bure maana itakuwa tayari kuna dosari
Kitu kikubwa nilichogundua ni kuwa, Namna pekee ya Kuyaokoa mashirika ya serikali yanayo andamwa na hasara kubwa ni namna ya kupata waendeshaji wawajibikaji.
Imekuwa ni kawaida sana Kipindi hiki cha Uongozi wa Rais Samia Watu kubadilishiwa vitengo tu badala ya kuwajibishwa.
Utakuta Kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.