Hapana Bosi,
Kwanza, huwezi kupiga kura kwa Rais peke yake, Sheria haiko hivyo, Sheria ya uchaguzi ni lazima upige kura kwa wote, kwa Rais, Mbunge na Diwani.
Pili, Sheria ya uchaguzi inasema, kila mpiga kura anatakiwa apige kura katika kituo alichojiandikisha, ,kwa mfano, Kama ulijiandikisha...