Dah mimi sio mfanyakazi wa tume, naona sasa kila mtu anataka kuniuliza swali, kwa hio ishu yako, nenda serikali ya mtaa , ulipojiandikisha kacheki hilo maana huko ndio daftari la kupiga kura lipo.
Bosi ndio sheria hizo, sasa kama ulijiandikisha Dar na umehamia Dodoma, hapo hamna namna lazima urudi Dar upige kura., kama huniamini subiri siku ya uchaguzi ukiwa huko huko Dodoma halafu nenda kituo chochote cha kupiga kura huko Dodoma halafu tuone kama wasimamizi watakuruhusu kupiga kura. cha...
Hapana Bosi,
Kwanza, huwezi kupiga kura kwa Rais peke yake, Sheria haiko hivyo, Sheria ya uchaguzi ni lazima upige kura kwa wote, kwa Rais, Mbunge na Diwani.
Pili, Sheria ya uchaguzi inasema, kila mpiga kura anatakiwa apige kura katika kituo alichojiandikisha, ,kwa mfano, Kama ulijiandikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.