Recent content by joooh12

  1. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Aiseee hivi huruhusiw kugomea uhamisho wa utumishi, happ labada na weww uanze kupambana kuomba uhamisho, ila unaonekana umetokea kwenye taasisi nzuri sana ilikuwa inalipa vzur sana hata TRA hawafiki huko
  2. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Duuh kwel kaka hii n changamoto
  3. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hivi kwenye hiyo barua wanaandika kabisa kuwa unatakiwa kuripoti kituo kipya ndani ya siku 14....?, je haiwezekan taasisi yako inayotoka ikakufanyia fitna ikakucheleweshe kukufanyia process za mwishon hizi za uhamisho ndan ya hizo siku
  4. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Kwenye post gani hiyo fb nikajioneeee
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu naombeni kujua Taasisi za International(NGO) na Government zinazolipa vizuri, pia kujua kuhusu Taasisi za Serikali zinazoajiri wenyewe

    Hivi kati ya ewura, pura na tpdc wapi kuna maslahi mazuri sana
  6. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hahaha kuna mtu amehamishwa kutoka ewura kwenda tpdc, je hapo ameshushwa au amepandishwa...?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hivi kuna uwezekano barua ya uhamisho ikatoka utumish kuwa umehamishiwa taasis fulan afu bado taasisi yako wakakuzuia kuondoka...?
  8. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Sama Samahani kaka, hivi maana yake amepokea barua ya uhamisho kutoka utumishi au tyr kila kitu paka kazini ameshapitishwa.. na je kaka barua ikitoka utumishi je process za kutoka ofisin kwenu paka uhamishiwe taarifa zako kwenda taasisi nyingne inachukua muda gani
  9. J

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Tra nasikia wanabasic kubwa ila hawana posho, tpdc wana basic ndogo ila posho kubwa ila ewura wako vyema kila kitu kuzidi wote wawili hawa....
  10. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    TPA vs TPDC...?
  11. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    I Ila si wana posho za kutosha sana..?
  12. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Kama umepata TAWA wewe nenda kaka taasisi za mali asili zote zina pesa yan tawa, tanapa, ncca na tfs
  13. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    K Kwani tpdc kukoje mbona taarifa zinachanganya sana wengine wanasema wako vizuri sana na wengine wanasema katika taasisi za mafuta yan ewura na pura wao ndio wanalipwa kidogo sana
  14. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mshahara wa mtu wa diploma huuuu TAWA, bachelor anaweza kuanzia 1.8m na kuendelea, na wana allowance nying kuliko tanapa... nimesahau tu rates zao zilikuwa za mwaka jana 2025 mwez wa 6
Back
Top Bottom