K
Kwani tpdc kukoje mbona taarifa zinachanganya sana wengine wanasema wako vizuri sana na wengine wanasema katika taasisi za mafuta yan ewura na pura wao ndio wanalipwa kidogo sana
Mshahara wa mtu wa diploma huuuu TAWA, bachelor anaweza kuanzia 1.8m na kuendelea, na wana allowance nying kuliko tanapa... nimesahau tu rates zao zilikuwa za mwaka jana 2025 mwez wa 6
Hapo nimechanganya sio gross salary, ni basic salary, yan basic salary kwa artisan ni 1.3m, technician ni 1.8m hapo kabla ya makato wala kabla ya posho... wana overtime ambayo ni flat kwa wote 400k, wana posho ya house na usafiri, na moja nimeisahau ziko tatu
Mkuuu hii ni bila posho, kingine hakuna mtu anayeweza kukimbia tanesco kwa sasa wala asikudanganye.... sasa kama technician take home anachukua 2m utasemaje salary ndogo... OT wanachukua flat laki 4, wana posho ya nyumba, usafiri na chakua. Hao kaka walikudanganya au labda miaka hiyo ila kwa...
Mkuu kumbe unaongelea historia, mimi nazungumzia mishahara ya sasa hivi, na huyo alikudanganya maana 2023 technician alikua anachukia milioni moja na elfu 7 basic, wakaongeza ikaenda paka 1.3, sasa hivi ni 1.8m, huyo labda alikuwa mkataba wa kwako. Mimi nazungumzia kitu nachokijua sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.