Aiseee hivi huruhusiw kugomea uhamisho wa utumishi, happ labada na weww uanze kupambana kuomba uhamisho, ila unaonekana umetokea kwenye taasisi nzuri sana ilikuwa inalipa vzur sana hata TRA hawafiki huko
Hivi kwenye hiyo barua wanaandika kabisa kuwa unatakiwa kuripoti kituo kipya ndani ya siku 14....?, je haiwezekan taasisi yako inayotoka ikakufanyia fitna ikakucheleweshe kukufanyia process za mwishon hizi za uhamisho ndan ya hizo siku
Sama
Samahani kaka, hivi maana yake amepokea barua ya uhamisho kutoka utumishi au tyr kila kitu paka kazini ameshapitishwa.. na je kaka barua ikitoka utumishi je process za kutoka ofisin kwenu paka uhamishiwe taarifa zako kwenda taasisi nyingne inachukua muda gani
K
Kwani tpdc kukoje mbona taarifa zinachanganya sana wengine wanasema wako vizuri sana na wengine wanasema katika taasisi za mafuta yan ewura na pura wao ndio wanalipwa kidogo sana
Mshahara wa mtu wa diploma huuuu TAWA, bachelor anaweza kuanzia 1.8m na kuendelea, na wana allowance nying kuliko tanapa... nimesahau tu rates zao zilikuwa za mwaka jana 2025 mwez wa 6
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.