Recent content by joooh12

  1. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    TPA vs TPDC...?
  2. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    I Ila si wana posho za kutosha sana..?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Kama umepata TAWA wewe nenda kaka taasisi za mali asili zote zina pesa yan tawa, tanapa, ncca na tfs
  4. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    K Kwani tpdc kukoje mbona taarifa zinachanganya sana wengine wanasema wako vizuri sana na wengine wanasema katika taasisi za mafuta yan ewura na pura wao ndio wanalipwa kidogo sana
  5. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mshahara wa mtu wa diploma huuuu TAWA, bachelor anaweza kuanzia 1.8m na kuendelea, na wana allowance nying kuliko tanapa... nimesahau tu rates zao zilikuwa za mwaka jana 2025 mwez wa 6
  6. J

    JamiiForums Tanzania Msaada wa taarifa. Nataka kuhamia moja ya taasisi za wizara ya uchukuzi

    Pia alisema ametoka katika taasisi za nishati yani kati ya pura au tpdc so nilitaka kufahamu pia maslahi ya huko alikotoka kukoje kwa level ya diploma
  7. J

    JamiiForums Tanzania Msaada wa taarifa. Nataka kuhamia moja ya taasisi za wizara ya uchukuzi

    Nataka kufahamu utaratibu wa kuhama tu
  8. J

    JamiiForums Tanzania Msaada wa taarifa. Nataka kuhamia moja ya taasisi za wizara ya uchukuzi

    Kaka mambovipi..? Ulifanikisha huu mchakato..? Ilikuchukua mda gani paka kufanikiwa...?
  9. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Huu uzi siku hizi umesimama, sio kama mwaka jana comments/reply zilikua zakutosha
  10. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Wakuu issue ya TPDC vs TPA imekosa majibu, nani yuko njema hapo kwa level ya diploma ya engineering
  11. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Taasisi gani hii kaka inalipa vizuri hivi au taasisi gani zinakua na posho kubwa kama hivi
  12. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mwaka 2023 bachelor alikuwa anaanzia na 1.5m hii ni basic salary
  13. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Hapo nimechanganya sio gross salary, ni basic salary, yan basic salary kwa artisan ni 1.3m, technician ni 1.8m hapo kabla ya makato wala kabla ya posho... wana overtime ambayo ni flat kwa wote 400k, wana posho ya house na usafiri, na moja nimeisahau ziko tatu
  14. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mkuuu hii ni bila posho, kingine hakuna mtu anayeweza kukimbia tanesco kwa sasa wala asikudanganye.... sasa kama technician take home anachukua 2m utasemaje salary ndogo... OT wanachukua flat laki 4, wana posho ya nyumba, usafiri na chakua. Hao kaka walikudanganya au labda miaka hiyo ila kwa...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mkuu kumbe unaongelea historia, mimi nazungumzia mishahara ya sasa hivi, na huyo alikudanganya maana 2023 technician alikua anachukia milioni moja na elfu 7 basic, wakaongeza ikaenda paka 1.3, sasa hivi ni 1.8m, huyo labda alikuwa mkataba wa kwako. Mimi nazungumzia kitu nachokijua sio...
Back
Top Bottom