Recent content by Jollyjully

  1. Jollyjully

    Naomba nishaurini kuna mapenzi hapa

    Kiukwel inachosha sana kila siku wewe ndo uwe unamfuta mtu yeye kuja hapana na wanaume wengine wanakaa kwenye getto zao bas kila siku we ndo kiguu na njia km una akili timamuu lazima ujistukie...uyo dada ana akili kastuka sasa wewe mtoto wa watu aje kwenu tena kwa baba na mama jiongezeeee...try...
  2. Jollyjully

    Baadhi ya wanawake sijui wanachukulia vipi maisha

    Nimejifunza kitu kwakweli...wakati mwingine sisi wadada tunapendaga sana maisha ya maigizo ebu tulia ukimpata akupendaeee.
  3. Jollyjully

    Ulimpataje mwenza/mchumba/mpenzi wako?

    Nilikutana nae kwenye getto lake nilienda kumuona na best angu alikuwa anaumwa nilikuwa ata simjui ila kwa sasa ndo "future husband if God wish"
  4. Jollyjully

    Mwanangu ana miaka 6 lakini huwa ananishangaza

    Mi naona hii utasaidia maombi ndo kilakituuu
Back
Top Bottom