KIFO SIKU YA HARUSI
MTUNZI JOSHUA LIBERATH
0713111547 WHATSAPP
Ilikua siku ya jumatatu asubuhi Jesca aliamka akiwa mwenye huzuni sana ,hakujua ni kwa sababu yupo katika hali ile ,taratibu jesca aliamka na kutoka kitandani kisha alijikongoja na kuchukua maji ya kuoga na kuelekea bafuni ,baada...