Recent content by joku

  1. joku

    Natafuta Center ya kufanyia mtihani wa form six kama private candidate kwa Mlandizi

    Habari zenu. Ndugu zangu nilikuwa na uliza kama Kuna mtu yoyo anaijua center yoyote ya kujisajilia kufanya mtihani wa form six Kwa mlandizi ani ambie
  2. joku

    Kwa kozi hii stashahada maalumu ya masomo ya sayansi (Chemistry and Mathematics) je naweza kupata mkopo kutoka HESLB

    Habari zenu jamani Mimi nimwanafunzi nilie maliza form four mwaka wa Jana nilimpata division III ya 24 selection zilivyo toka nimepangiwa nikasomee iyo kozi hapo juu katika chuo Cha Korogwe teacher college Sasa nilikuwa na uliza je naweza kupata mkopo wa heslb
  3. joku

    Naomba ushauri kati yw kozi zifuatazo: Medical laboratory na uwalimu wa sayansi wa masomo ya (chemistry na mathematics)

    Habari zenu jamani Mimi nimwanafunzi nilie maliza form four mwaka wa Jana na nilimpata three ya 24 selection zimetoka mwaka huu nimepangiwa nikasomee uwalimu wa sekondari ngazi ya diploma wa masomo ya sayansi (chemistry na mathematics). Halafu Kuna mtu kanishauri niachanana uwalimu nikasomee...
  4. joku

    Kwa matokeo haya naweza kwenda advance kwenye shule za serekali na kwa kozi gani?

    Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali na kama ndio kwa combination gani ? matokeo yenyewe ni MATHEMATICS (C) , CHEMISTRY (C) , BIOLOGY (C)...
Back
Top Bottom