Hizo apo chini:
MAJUKUMU YA KAZI
i. Kufanya ukaguzi wa ubora wa vifaa vya tehama na kurekebisha ipasavyo;
ii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya vifaa vya TEHAMA;
iii. Kufanya matengenezo ya Miundombinu ya TЕНАМА;
iv. Kuchukua hatua za kiusalama kulinda vifaa vya TEHAMA;
v. Kukagua na...
Ndugu naombeni msaada kwa wale wenye uzoefu wa practical za kada ya ICT. (Kwenye duties and responsibilities nyingi ni kuhusu maintanance and repair).
Naomba kujua maswali yanakujaje na mda wanatoaga mda gani. Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.