Unafiki unaliangamiza Taifa
Baba wa Taifa letu, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kuja na ujenzi wa falsafa yake kuhusu dhana ya maendeleo. Kwa kutumia hekima, busara na kwa kinywa chake mwenyewe, Mwalimu Nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne ambavyo ni ardhi, watu, siasa...