Recent content by John Okello

  1. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    MU Usirudi nyuma yaliofanywa yamefanyika ili tukate tamaa kudai haki zetu za msingi , wanayafanya wakijua wengi hawana elimu na walio na elimu watarudi nyuma tuu ...
  2. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    Tusikate tamaa tudai mfumo bila woga ..
  3. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    Nitamuunga mkono akiijenga taasisi na mifumo na Si kujenga hofu ...
  4. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    Katiba ya Jaji warioba iliondoa kabisa wakuu wa mikoa... CCM walirudisha kama sehemu ya vyeo vya kupumzikia
  5. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    Uhakiki ni kazi ndogo chini ya Tume ya utumishi Tume ya Maji warioba iliona hili na kupendekeza kuwa chujio ... Tutengeneze taasisi...
  6. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    upungufu huu haukupewa naafasi ya refining maana muundo wa serikali uliopendekezwa na wananchi
  7. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    kukosolewa ni lazima maana ndio chujio la upande wa pili wa madudu uliofanya
  8. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    haswa si sasa mikopo imekuwa ya kulenga na manati wakati aliahidi kutoa mikopo kwa wanafunzi wote. imefadhiliwa serikali na katiba hii ni kwa maslahi mapana ya ccm
  9. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    tuungane wote kama watanzania na wamenda kesho wa hii nchi kudai katiba ya jaji warioba si kukaa kimya tena tutoke sasa.
  10. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    anatumia mamlaka iliopo kukandamiza demokrasia , kama ana nia yakweli ajenge misingi.
  11. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    Watu wanakaa na kufikiri na kwaaslahi mapana ya TAIFA wanajaribu kututoa tulipo lijitu tuu linakurupuka kwa maslahi yake .... Na umasikini wetu mkubwa ni elimu so liache mkuu
  12. J

    Taifa linapoteza mwelekeo kwa ukimya wetu wa kutodai Katiba ya Jaji Warioba

    Taifa linapitia kipindi kigumu mno kiuchumi na kidemokrasia, Washika kalamu kufikisha ujumbe wanakamatwa wanafungwa au kuteswa kwa makosa ya mitandao ya kijamii huku yeye akiomba malaika washuke wafungie mitandao ambayo ni mfumo huru wa kufikisha ujumbe. Leo Watanzania hawajui nini dira ya...
  13. J

    Lowassa kumbuka: Sasa unafanyiwa kampeni na CHADEMA/UKAWA. Wengine wakae kando

    You too selfish that only word I can, the same as in campaign Edward Lowassa should sleep while mbowe and slaa have to promote the candidate which is big wrong. Urais ni swala la wananchi si la chama waache watanzania wamnadi Edward Lowassa bila kujali Makundi yao. Ushauri usigawe kura hayo...
  14. J

    Lowassa arudisha Fomu ya kugombea Urais Kupitia UKAWA, leo tarehe 1 Agosti, 2015

    TAARIFA KWA UMMA Habari, leo saa tisa Alasiri (03:00 PM ) Mh Edward Lowassa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Atarudisha fomu ya kugombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA). Tukio hili litafanyika katika Ofisi kuu za Chama Dar es Salaam, Kinondoni Mtaa wa Ufipa...
Back
Top Bottom