Mhh bado wapo Watanzania wengi sana wanazaliwa hawajui na wanahitaji kujua technology hasa vitu hivyo, ni jinsi ya kutengeneza networking yake tu awapate na wanapatikana....
Haiya sasa karibuni vijana wenye sifa tajwa hapo kwenye Tangazo halijachakachuliwa wala nini... Ooh sijui tayari watu walishapatikana tangazo linapostiwa kutimiza wajibu, alafu wengine Tz wanatabia chafu sana kama hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.