Recent content by John Mwakasege

  1. J

    Nikihitaji kujiunga na Bolt au Uber wastani Shilingi ngapi kwa siku naweza ingiza?

    Habari, ningependa kufahamu nikiwa mmiliki wa pikipiki Dar es salaam na nikahitaji kujiunga na Bolt au Uber wastani tsh ngapi kwa siku naweza ingiza. Pikipiki yangu na naendesha mwenyewe. Kuna gharama zipi za uendeshaji pia.
Back
Top Bottom