Ni lini atatoka msaliti mmoja kutoka ccm awaumbue mafisadi wote wa ccm??..hawana hata huruma na watu wa nchi hii..wako watu wanakufa kisa kukosa matibabu lakini wakati huo huo yuko mtu wa ccm anaiba bilioni kwenye mfuko huo huo wakutibia wagonjwa??? Wao waliumwa utaskia kapelekwa south Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.