Wizara ya ardhi ni miongoni mwa sekta nyeti sana ambayo mtu yeyote anayepewa nafasi ya kuiongoza wizara hii hapaswi kucheza nayo hata kidogo mathalani viongozi wa vijiji na watendaji wote katika mipaka yao wanapaswa kutambua madhara ambayo yanaweza kujitokeza endapo hawatatilia mkazo juu ya...
Tanzania ni taifa linalopatikana Afrika ya mashariki na ni mwanachama wa jumuiya ya nchi za Afrika mashariki (EAC), katika jumuiya hiyo kila taifa linaongozwa na siasa ambazo hazifanani kabisa na taifa lingine. Hii ni kutokana na historia tangu mataifa haya yaliopoundwa, kwa mfano Kenya ni taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.