Recent content by joachim100

  1. joachim100

    Programming language gani zitanifaa kwa hii specialization yangu?

    Sina uhakika sana ila najua kwamba java haisom apple na windows
  2. joachim100

    Programming language gani zitanifaa kwa hii specialization yangu?

    Hapo kwenye server side lang chukua python au ruby on rails zko fit kwamfano python inatumiwa na instagram na ruby on rails inatumiwa na github kwenye, kwenye lang ya app java ndo kila ktu ila kama unatka kudevelop hybrid apps yan app moja ifanye kaz kote tumia lang.mpya inaitwa angularjs ni...
  3. joachim100

    Training Training!!!!

    Ni PM bas
  4. joachim100

    Training Training!!!!

    Njoo WhatsApp me at 0683155082 tuzungumze in detail
  5. joachim100

    Training Training!!!!

    Njooni dar, huku kuna wateja wengi
  6. joachim100

    Training Training!!!!

    Mko mkoa gan?
  7. joachim100

    Kuna Mengi ya kujifunza humu......

    Hapo... umepiga msumari wa mwisho.... great answer
  8. joachim100

    Niulize jinsi ya kutengeneza game

    Sasa nitie kama attachment kwenye email yang community.hoopla@gmail.com niifanyie beta testing
  9. joachim100

    Niulize jinsi ya kutengeneza game

    Lakin apk umeshaitengeneza?
  10. joachim100

    REST & Android APIs for Tanzanian developers

    Swala la kutumia API ni ngumu kdgo... ila kuna plugin haswa za wordpress zinazoweza kudeliver notification to subscribed topics... mkuu mambo uliyotaja hapo yote yanawezekana hata na hzi small resources tulizo nazo... point ni kwamba hawaoni mbali
  11. joachim100

    Niulize jinsi ya kutengeneza game

    Nataka unipe hyo ujiji race ni ifanie beta testing
  12. joachim100

    Kuna Mengi ya kujifunza humu......

    Yes, hlo ni tatizo sana... ila kwa kuongezea mm naona shda ya yahoo ni kwamba ili lack the so called hacker culture. Kwa ufup hacker culture ni mtindo wa kuanzaisha kampun wa silicon valley yaan kampuni za tech huko SV zna focus sana katika its core product and making sure they do things very...
  13. joachim100

    Kuna Mengi ya kujifunza humu......

    Kwel nimeisoma.... its very good piece.of information..
Back
Top Bottom