Asante japo kwa kutembelea website yetu na ukatoa maoni yako kulingana na ulivyo on a website,wengine wakiona tu tangazo wanakurupuka kucoment.
Kuhusu the way unavyo taka kutuprove napenda kukwambia kuwa
Kiteknolojia naweza nikakudanganya chochote,na bado ukaamini,kuna watu wana followers...
Mkuu hivyo ni rahisi,tunaweza tukakupa huduma kwanza ukatulipa baadae.
Lakini kumbuka siyo sisi tunaweza kuwa matapeli hata mteja anaweza akawa tapeli.
Kama utahitaji huduma ya kulipa baada ya kazi,fika ofisini,na sisi tufike ofisini kwako,ili tufahamiane kisha tujaze mkataba.
Tutakua...
Ofisi zetu zipo Gongolamboto stand yanapo geuzia magari mkono wa kushoto kama unatokea mjini kuna ghorofa nyeupe ina bango la TCL Company,tupo floor ya kwanza na ya pili.Ukifika mapokezi sema unataka kuonana na watu wa mtandao wa sharenamimi.com au mtandao wa nijuze.com atakuleta
Jengo ni
Plot...
Ofisi zetu zipo Gongolamboto stand yanapo geuzia magari mkono wa kushoto kama unatokea mjini kuna ghorofa nyeupe ina bango la TCL Company,tupo floor ya kwanza na ya pili.Ukifika mapokezi sema unataka kuonana na watu wa mtandao wa sharenamimi.com au mtandao wa nijuze.com atakuleta
Jengo ni
Plot...
Hii ni furs
Hii nifursa mkuu,fahamu kwamba account promotion ni kitu kingine ambacho kinafanywa na kampuni zenyewe pia zinazo miliki mitandao,wao mwenyewe wanapromote kujipatia kipato kampuni ambazo wanafanya hivi ni
Instagram,Facebook,tweeter wote wanafanya promotion za akaunti za watu kwa...
Kwa nn kila kitu mnakimbilia utapeli,kitu gani kinakufanya uhisi ni utapeli.
Fanya utafiti wako kwanza ndo utoe neno,website IPO ofisi zipo,karibu tupeleleze ndo utamke neno.
Au kama kuna MTU tumemtapeli ajitokeze
Tuna fanya promotion za akaunti za youtube na instagram.
Tunafanya promotion locally ikiwa na maana kuwa youtube subscibers, au Instagram followers wako wanakuwa ni Watanzania.
Package zetu ni kama ifuatavyo
FOR INSTAGRAM
Basic instagram account promotion...
Maisha ni zaidi ya kuishi,maisha ni mahusiano na katika hili basi maisha yana maana zaidi ya kuishi.Mfano pale unapo amka asubuhi na kugundua kuwa kuna binadamu kama wewe wanaishi katika dunia hiyo hiyo ambayo na wewe unaishi,inakupa mawazo ya kufanya mipango ya maisha,kama vile kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.