Habari zenu
Nilikua naomba kuulizaa ivi Ina wezekanaa kuhailishaa mwaka katk chuo nilicho kuwa nasomaa na kwendaa ku omba kwenye chuo kingine bilaa kuwa taarifa TCU taarifa yakunifuta kwenye chuo Cha mwanzoo....naomba msaada wenu wakuu🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.