KIZA CHAZIDI KUTANDA, WALIMU WALIA NA MADARAJA 2025
VIGEZO VYA PEPMIS VI
Changamoto ya kupanda madaraja kwa watumishi wa serikali imekuwa sitofahamu, ijapokuwa kwa kiasi flani serikali imewezesha baadhi ya watumishi kupanda na wengine baadhi kuachwa kwa sababu zile zile za kimfumo ambazo bado...
Napenda kuwasilisha waraka huu nikiwa miongoni mwa Walimu wengi nchini ambao wameathirika kwa taarifa zinazotolewa na Chama chetu kuhusu utaratibu wa kupandishwa madaraja kwa kutumia Mfumo wa Public Employee Performance Management Information System (PEPMIS).
Hivi karibuni, CHAMA CHA WALIMU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.