Sina mambo mengi ndugu zangu, nadhani kichwa cha habari kinaeleweka.
Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto kadhaa na tunaishi kwa upendo na amani kabisa na familia yangu, ila nahitaji mwanamke ambaye amechoka kurukiwa rukiwa hovyo na kuachwa ili nimuoe awe mke wangu wa pili.
Kigezo awe...
Hii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu:
Nahitaji mwanamke ambaye Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo PM kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.
Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.