Recent content by Jiwa Hassan

  1. J

    Wanaume wengi wanateseka na mbaya zaidi hawazungumzi, jambo linalowamaliza taratibu

    Misongo ya mawazo na masononeko wanayopitia wanaume ni mingi mno na kwa bahati mbaya wengi wetu tunaweka moyoni kitu ambacho yanatumaliza. Hofu ya kuyatamka yanayotukwaza yamepeleka wengi sana kaburini na kuna waliopatwa na maradhi ya kudumu kutokana na changamoto za kisaikolojia. Makosa...
  2. J

    Elewa kitendo cha Kulia na Faida zake Kiafya

    Kimsingi kulia ni jambo linalofungamanishwa na HISIA. Na mara zote si LAZIMA iwe ni huzuni tu hata katika Furaha ya dhati huwa tunatokwa na machozi. Na hii utaiona Kwa wanyama wote kwani wao pia wana HISIA na matamanio ndiyo maana unaweza kumuona Tembo anatokwa machozi na anamuokoa MTOTO wake...
  3. J

    Leo ndio nimegundua kuwa kulia ni tiba kubwa sana

    HAKIKA KABISA ninaamini mchanganuo wangu huo umeeleweka. Yoyote mwenye swali karibuni
Back
Top Bottom