Recent content by Jingalao

  1. Jingalao

    Natafuta Chumba Master na Sebule kwa ajili ya kupanga mitaa ya Mbezi Louis au Msigani.

    1.Mitaa inayonifaa ni Mbezi Louis na Msigani. 2.Nyumba isiwe mbali na kituo cha daladala. 3.Umeme wa kujitegemea. 4.Maji yawepo. 5.Kodi nina Tsh200,000/= kwa mwezi, niko tayari kulipa miezi sita.
  2. Jingalao

    Naomba mkopo ili niweze kuweka sawa mambo yangu yanayonikabili.

    Kimya au lazima nitaje dhamana kwenye thread.
  3. Jingalao

    Naomba mkopo ili niweze kuweka sawa mambo yangu yanayonikabili.

    Njoo tujadili wawili,kuhusu hilo nimejiandaa.
  4. Jingalao

    Naomba mkopo ili niweze kuweka sawa mambo yangu yanayonikabili.

    Wanajamiiforum ni imani yangu muwazima wa kama sio hivyo basi tuombeane. Nahitaji mkopo wa 300,000/= nikae nao miezi mwili na marejesho yawe 500,000/= tarehe 31/08/2019. Mambo ya riba mkopeshaji unaweza kupanga upya. Kuhusu dhamana na kufahamiana zaidi njoo PM. Napatikana Dar es Salaam
  5. Jingalao

    Nahitaji betri la simu aina ya Halotel H8402

    Asante mkuu. Makao makuu yapo mtaa gani?
  6. Jingalao

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    Nahitaji betri la simu aina ya Halotel H8402 - JamiiForums
  7. Jingalao

    Nahitaji betri la simu aina ya Halotel H8402

    Nijulishe mahali yanapouzwa au kama unauza nicheki 0622948987
  8. Jingalao

    Nyumba na vyumba kadhaa maeneo ya karibu na Ubungo vinapangishwa.

    1.Chumba Ubungo Maziwa Tsh60,000 miezi sita. 2.Chumba karibu na Mabibo Hostel Tsh50,000 miezi sita. 3.Chumba na sebule Riverside Tsh100,000 miezi sita. Nyumba na chumba cha kupanga karibu na Mabibo Hostel,njoo upange kwa gharama nafuu. - JamiiForums Kuonyeshwa na dalali ili kuona vyumba sio...
  9. Jingalao

    Nyumba na chumba cha kupanga karibu na Mabibo Hostel,njoo upange kwa gharama nafuu.

    Umejuaje kuwa kati ya mimi nawewe nani umaskini unamtesa. Unakisia tu bila kulinganisha kipato changu na chako. Sijakulazimisha kuja kuangalia ni hiari yako.
Back
Top Bottom