Recent content by Jimm20

  1. J

    JamiiForums Tanzania DOKEZO NACTE na HESLB hawajipokei simu na email hawajibu, ni bora wazifute tu

    NACTE na HESLB, mbona hampokei simu wala kujibu barua pepe? Kama huduma hizo hazitumiki, ni bora mziondoe kuliko kuwaacha wananchi wakipoteza muda wakijaribu kuwasiliana nanyi bila mafanikio.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kuna utofauti wowote wa Ordinary Diploma in medical clinical officers na Diploma in medical clinical officers?

    Naomba kufahamu kama kuna tofauti yoyote kati ya Ordinary Diploma in Medical Clinical Officers na Diploma in Medical Clinical Officers. Pia, je, HESLB inatoa mikopo kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne pekee wanaotaka kusomea kozi za afya?
  3. J

    JamiiForums Tanzania SoC02 Watoto wenye mahitaji maalum na elimu

    Asante, hongera ufanunuzi mzuri, tuungqne pamoja kupaza kelele Ili watoto hawa wapate haaki ya elimu
  4. J

    JamiiForums Tanzania SoC02 Watoto wenye mahitaji maalum na elimu

    Kwani ni lazima watoto hao wapate elimu?
Back
Top Bottom