Kama Tume ya Uchaguzi ni mali ya CCM kuna sababu gani ya kufanya usanii wa ndhahalo kwenye Uchaguiz Mkuu wa 2010. Kwani ushindi wa kishindo wa asilimia 92 wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa ulihitaji mdahalo. Si vyama ni hivyo hivyo na watu ni wale wale. Uchaguzi wa Tanzania ni Igizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.