Recent content by Jifunze Kunyoa

  1. J

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Kabisa,na WA Tanzania wako mamilioni Kila siku
  2. J

    Chuo cha kwanza cha vinyozi Tanzania

    Course yake ni Mwezi Mmoja,Ada ni sh300,000/ .Mbali na Cheti lakini Wahitimu Huwa wanasaidiwa Kupata Ajira Moja kwa Moja Baada ya Kuhitimu
  3. J

    Chuo cha kwanza cha vinyozi Tanzania

    Kimesajiliwa chini ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Mhitimu Atapata Cheti kinachotambulika.Lakini pia Mhitimu Atasaidiwa kupata Ajira
  4. J

    Chuo cha kwanza cha vinyozi Tanzania

    Hapana Boss,Tunaongelea Barbering(Ukinyozi)
  5. J

    Chuo cha kwanza cha vinyozi Tanzania

    Hizi ni teaching Boards,Maalum Kwa Kujifunzia,Pia Kuna Mannequins(Midoli) ya kujifunzia
  6. J

    Chuo cha kwanza cha vinyozi Tanzania

    Hapa Wanafunzi wakifanya Mazoezi
  7. J

    Chuo cha kwanza cha vinyozi Tanzania

    Napenda kuwatangazia juu ya Chuo Cha Kwanza Cha Vinyozi Tanzania, Tupo, Dar-es-salaam, Kinondoni, Morocco.Tunatoa Mafunzo Kwa Njia ya Vitendo.Mhitimu Atapata Cheti, lakini pia Tutamsaidia Kupata Ajira.Namba zetu-0652733553.
  8. J

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Sasa hivi hata Tanzania Kipo Chuo Cha Kujifunza kabisa,Wapo Kinondoni, Morocco
  9. J

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Hichi Chuo Ndio Kimeleta Mabadiliko kwenye hii tasnia ya vinyozi
  10. J

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Hichi Chuo Wanafanya Mafunzo ili Watu wawe professional barbers
  11. J

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Chuo Kipo Kinondoni, Morocco,Wapigie📞0652733553
  12. J

    Chuo Cha Kwanza Cha Vinyozi Tanzania

    Nimeona Kuna Chuo Kipya Cha Vinyozi Tanzania,Kipo Dar es Salaam, Kinondoni.
Back
Top Bottom