Recent content by Jicho la mganga

  1. J

    JamiiForums Tanzania Naomba haya maswali yajibiwe na INEC na NIDA kama kweli Polepole kasema uongo vinginevyo Inatia mashaka

    Hata Tume ya vyuo vikuu TCU na bodi ya mikopo imeungwa na NIDA sijui kwann wamekataa CCM haijaungwa wakati unapojisajili online katika chama cha mapinduzi wanataka uingize namba ya kitambulisho cha nida
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kuna baadhi ya bidhaa online ni wizi mtupu sisimizi anauzwa kwa bei ya tembo je hii ni biashara au utapeli?

    Usinikumbushe hao wapuuzi niliagiza taulo mtandaoni wameweka picha kubwa bei 135000 pea tatu, Ebwana waliponilea vitaulo havitoshi hata kiunoni ni vidogo kama enkachifu. Kwakweli inaumiza sana na inakera
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ajali iliyoua watoto 5 huko Mbeya imenisikitisha sana; Lakini hebu tujadili mambo haya machache kiufundi kwa usalama wetu

    Mimi siyo mtaalam kwahiyo design life span ikifika inakuwa specifiki Kwa jambo moja la kuzuia STEP TU? Mbona maelezo yana ukakasi! Inakuwaje STEPU ziwe tishio hivyo jombaa!
  4. J

    JamiiForums Tanzania Ajali iliyoua watoto 5 huko Mbeya imenisikitisha sana; Lakini hebu tujadili mambo haya machache kiufundi kwa usalama wetu

    Naona wee unasimulia mambo ya vitabuni na jamaa anaelezea mambo ya site. Lakini kuna kitu kipya hapo kaongezea je ni kweli baadhi ya nchi zinaweka mabango ya kuzuia kupita kwa stepu? Kama ni kweli hauoni hoja yake jamaa itakuwa sahihi?
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ajali iliyoua watoto 5 huko Mbeya imenisikitisha sana; Lakini hebu tujadili mambo haya machache kiufundi kwa usalama wetu

    Ingawa jamaa anasemaga yeye ni darasa la saba lakini siamini kama ni la saba itakuwa ni injinia au dr. msomi
  6. J

    JamiiForums Tanzania Ajali iliyoua watoto 5 huko Mbeya imenisikitisha sana; Lakini hebu tujadili mambo haya machache kiufundi kwa usalama wetu

    Huyu jamaa kila nyuzi zake huwa nazifuatilia napata moja la kujifunza hata mimi
  7. J

    JamiiForums Tanzania Ajali iliyoua watoto 5 huko Mbeya imenisikitisha sana; Lakini hebu tujadili mambo haya machache kiufundi kwa usalama wetu

    Kafara inatolewa kwa watu wazembe barabarani inakula kwao
  8. J

    JamiiForums Tanzania Wanaufufuo na watu wote mnakaribishwa kesho tujumuke kwa ajili ya bwana Mungu wetu

    Kamatieni hapohapo hadi kieleweke
  9. J

    JamiiForums Tanzania Wanaufufuo na watu wote mnakaribishwa kesho tujumuke kwa ajili ya bwana Mungu wetu

    Kwanini wakasali kwingine nasi hapo ubungo? Ebu waeleze hapo kuna shida gani ambako kwingine hakuna?
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ujue Ubongo wa binadamu ulivyogeuzwa kwa kanuni ya (High na Low) part2

    Wewe fundi Samico leo huna kazi kuna chumba cha chumba kimoja njoo utindue uweke bomba za umeme!
Back
Top Bottom