habari zenu madaktari humu, mwenzenu hivi karibuni najisikia kuchokachoka na kupatwa na usingizi kila mala, maleria sina wala homa yoyote ila tu mwili unakuwa wa kuchokachoka tu, nini sababu ya hili? dawa gani naweza kutumia?
asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.