Asante mkuu kwa ushauri.. Vipimo vyote nimepima..
Echo
Ecg
Pamoja na vipimo vingi vya damu..
Protonin level
Cholerstrol
Kiwango cha oxygen kwenye dam
Na vingne vingi tu
Pressure pia ipo normal always nikipima
Mapigo ya moyo pia yako kawaida
Wakuu Habari za mida.
Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.