Idunga hizo sababu nazikubali kama ukiangalia post yangu nimeandika kuwa ithibitishwe kuwa mama hawezi kumlea. Ila hilo la umri kwa sasa Kuna mabadiliko Kuna decision tayari zimeisha tolewa pia sheria ya mtoto inatafsriri mtoto ni nani. Pitia sheria na maamuzi ya mahakama.
Mtoto atakuwa chini ya mama yake mpaka atimize miaka 18 au ithibitishe kuwa mama hana uwezo wa kumlea. Ila wewe unable haki ya kumwomba mtoto wako pia ni wajibu wenu wazazi kuhakikisha mtoto anapata mahitaji yake yote mhm. Tafuta sheria ya mtoto ya mwaka 2009 hata ukigoogle inapatikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.