Mleta mada kwanza unatakiwa kujua ni nani anayepewa PHD ili sasa ufananishe na PHD nyingine zile za kukaa darasani,sasa hapo hatujui Hv hz PHD maraisi wanaziomba au wale wanaojipendekeza ndio wanao wapa.Tujue kuna siku udokta na uprofesa hauta kuwa na maana kabisa kwenye tasnia ya Elimu.
Watu wote wavivu wa kusoma hupenda uhuni ktk mambo mengi na hupenda short cut,kama tunawapenda sana viongozi wetu tuwasihi wakasome shule,yaani chini ya CCM ELIMU inadhalauliwa sana.
Hiyo ndio kazi ya IMF kudanganya miafrika nayo inaamini kipumbavu tu hakuna kuumiza kichwa ili iendelee kujikoki vzr kufaidisha wazungu.KWELI CCM NI JANGA LA TAIFA.
Ww Unaelimishwa kuhusu China na utaratibu wake kimaendeleo hutaki inawezekana ww hujui mambo ya kimataifa,unapoelimishwa kubali,ni ukweli usiopingika kwamba tunahitaji Economic regions kuliko political regions huo ndio ukweli,vijana wengi hawana ajira na mfumo wa Elimu ni uleule mbovu na hauna...
Mtu aliyetoka kwenye kulima nyanya anajua nn,mlima nyanya na viazi hajui siasa,ndio maana anawataja wapinzani na hajui kwamba trip hii wapinzani wako ndani ya CCM.Alli hapi ameshapwaya tayari na hajui kinachoendelea angerudishwa akaendelee kulima nyanya tu.
Watanzania wana maisha magumu sana kwa sasa na wala hawataki kusikia kwamba Sijui eti kuna mtu alizaliwa kariakoo itawasaidia nn kama sio ujinga na upumbavu kwenye masikio ya watu.Watanzania wenye akili wako kimya waacheni wapumbavu wanaodhani watanzania wanaipenda sana CCM na serikali yake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.