Recent content by jeremiamnzava

  1. J

    JamiiForums Tanzania Ni vigezo/masharti gani wkt wa kufungua case CMA

    Hapo sielewi kabisa tunaomba ufafanuzi Kwasababu wapo wanaosema CMA wanahesabu kuanzia siku uliyopewa notice of termination Wengine wanasema inahesabika tangia ile siku termination inatake effect Kwa mfano notice of termination ilikuwa 18 July lkn imeandikwa termination will take effect on 18...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Ni vigezo/masharti gani wkt wa kufungua case CMA

    Naomba wataalam na wazoefu wa haya mashauri yanayoendana CMA mnisaidie hapa NIna maswali matatu Naomba ufafanuzi wa kisheria 1. Ikiwa mwajiriwa yupo kwenye fixed term contract, mwajiri akamuachisha kazi CMA nitaenda kufile breach of contract, je kwenye kufile case CMA time limit itakuwa siku 30...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ni vigezo/masharti gani wkt wa kufungua case CMA

    Naomba msaada wako wa kisheria Ikiwa nimeachichwa kazi isivyo halali nilikua na mkataba wa mwaka moja Ambapo ulianza mwaka jana, Nimeachishwa kazi mwaka huu kabla ya miezi 4 ya mkataba wangu kuisha na sababu zilizotolewa sio sahihi na procedures hazikufuatwa Naomba kujua nikifungua shauri CMA...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Overtime na jinsi ya kudhibitisha kwenye tume ya usuluhishi

    Naomba wataalam na wazoefu wa haya mashauri yanayoendana CMA mnisaidie hapa NIna maswali matatu Naomba ufafanuzi wa kisheria 1. Ikiwa mwajiriwa yupo kwenye fixed term contract, mwajiri akamuachisha kazi CMA nitaenda kufile breach of contract, je kwenye kufile case CMA time limit itakuwa siku 30...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Overtime na jinsi ya kudhibitisha kwenye tume ya usuluhishi

    Shukran sana 🙏🙏🙏
  6. J

    JamiiForums Tanzania Overtime na jinsi ya kudhibitisha kwenye tume ya usuluhishi

    Naomba msaada wako wa kisheria Ikiwa nimeachichwa kazi isivyo halali nilikua na mkataba wa mwaka moja Ambapo ulianza mwaka jana, Nimeachishwa kazi mwaka huu kabla ya miezi 4 ya mkataba wangu kuisha na sababu zilizotolewa sio sahihi na procedures hazikufuatwa Naomba kujua nikifungua shauri CMA...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Termination on fixed contract/ kufungua shauri CMA kwa mwajiriwa mwenye mkataba wa muda maalum

    Habari za leo wadau na wajuzi wa sheria Naomba msaada wako wa kisheria Ikiwa nimeachichwa kazi isivyo halali nilikua na mkataba wa mwaka moja Ambapo ulianza mwaka jana, Nimeachishwa kazi mwaka huu kabla ya miezi 4 ya mkataba wangu kuisha na sababu zilizotolewa sio sahihi na procedures...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Overtime na jinsi ya kudhibitisha kwenye tume ya usuluhishi

    Je utadhibitishaje CMA au labour court kuwa ulikuwa unafanya kazi overtime Ni evidence gani ya kuprove overtime
  9. J

    JamiiForums Tanzania Kupunguza wafanyakazi kwa kutoa notice of termination ya siku 30 lakini hakukuwepo na consultation wala notice for intention of retrenchment

    Kama mwanzo ulipewa mkataba wa mwaka moja ukiisha bila kusaign mwingine na ukaendelea kufanya kazi maana yake huo mkataba umejirenew automatic, nisawa nakusema mkataba wako mpaka sasa umejirenew ni mara ya pili. niwajibu wako kujua ulianza kazi lini, unakoma lini na upige hesabu Stahiki zako.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kupunguza wafanyakazi kwa kutoa notice of termination ya siku 30 lakini hakukuwepo na consultation wala notice for intention of retrenchment

    Hatua na timing ya unfair termination ndo lengo langu, Maana siwezi lazimishia nisifutwe kazi wakat wao washanikataa, ndomana wakanipa notice na sababu zao et taasisi inapitia changamoto ya kifedha wakati huo hatukaa, sikuitwa wala kuzungumzia hizo changamoto wanazo sema zaidi tu ya kupewa...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Kupunguza wafanyakazi kwa kutoa notice of termination ya siku 30 lakini hakukuwepo na consultation wala notice for intention of retrenchment

    Kwenye kuchallange retrenchment process, sawa vip ikiwa sinaiman tena ya kuendelea na kazi kwa mfano mwajiri anaonesha nia ya kutonihitaji kazin ikiwa ni kunidai vitu vyote alivyonipa na ikiwemo zawadi imebidi nizirudishie na huwa hataki maongezi na mimi. Kama nitazuia process ya retrenchment...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Kupunguza wafanyakazi kwa kutoa notice of termination ya siku 30 lakini hakukuwepo na consultation wala notice for intention of retrenchment

    Shukran kwa elimu hii, naomba kuuliza sheria inasemaje muda wa kupeleka shauri CMA, maana tangia nipewe notice of termination ni siku 20 sasa zimepita, zimebaki siku 9 ambazo naendelea kufanya kazi kama notice inavyosema kwahyo muda wa kwenda CMA unakuwa mgumu. Je nikisubiria mpaka siku ya...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kupunguza wafanyakazi kwa kutoa notice of termination ya siku 30 lakini hakukuwepo na consultation wala notice for intention of retrenchment

    Tatizo ni Retrenchment Nahudumu sector binafsi Sikuwa na probation contract ispokuwa ilikuwa ni permanent contract ambapo wakati wa discussion ya huo mkataba tulikubaliana kwakua nimeanza na mshahara mdogo bc kila baada ya miezi sita kutakuwa na review. Mkataba unasema utaanza kazi tarehe 2...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Kupunguza wafanyakazi kwa kutoa notice of termination ya siku 30 lakini hakukuwepo na consultation wala notice for intention of retrenchment

    Nina permanent contract lakin unakipengele cha review kuhusu mshahara kila baada ya miezi 6, saiv nina miezi 8 tangia nianze Ajira. Notice niliyopewa ni ya termination after 30 days. Sipo kwenye chama cha wafanyakazi. Tangazo la awali halikutolewa, ispokuwa nilipata notice ya termination siku...
Back
Top Bottom