Recent content by JEO

  1. J

    JamiiForums Tanzania Kwa Wanaojua Uhasibu...shughuli za ufisadi zinaingia wapi kwenye balance sheet?

    Mkuu MM, Makampuni makubwa yanapokuwa na transactions za kifisadi huwa account under other comprehensive income na other comprehensive expenses (kwenye P&L au statement of profit or loss and other comprehensive income kama inavyojulikana siku hizi) na baada ya tax expense wanapeleka kwenye...
  2. J

    JamiiForums Tanzania UPDATE: Uthibitisho wa CHADEMA kumiliki DVR mbili zilizorekodi mkutano huu hapa.

    BK 7? Jaribu kufikiri kidogo kabla ya ku-conclude kama mada hii ni UONGO. Hujatoa hata proof kuonyesha huu ni uongo.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba umepiga msumali wa moto,CHADEMA wanajitetea na DRV na CCTV

    Jamani njaa mbaya. Bk 7 tu zinamfanya mtu ajipinde kiasi hiki kutetea MAUAJI! Ama kweli vijana wa LUMUMBA hamna kazi.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Kwa kuwa wameona nchi haitawaliki, sasa ni dhahiri watawala wameamua nchi hii iwake moto. Hata kama ''liwalo na liwe'' ndo falsafa yao wanaposhindwa kupata consensus na kundi mojawapo la watanzania. Ama kweli Tz imekuwa nchi ya TISS na policcm. Moto unaowaka Arusha unaweza kuenea nchi nzima...
  5. J

    JamiiForums Tanzania GE2010 CONFIRMED: Iringa mjini CHADEMA (Peter Msigwa) yatwaa ubunge

    Harufu ya ukombozi ndoo hii.
  6. J

    JamiiForums Tanzania GE2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

    Hi guys. For those who have not voted yet plz do it. And vote for change.
Back
Top Bottom