nashindwa kaka inaweza ikawa kijana wake mmoja yupo hum na nikiyataja hayo ya hovyo yakanikuta kama yaliyomkuta kaka yangu mkubwa alipigwa mtaani na mke wake wakamchukua😔😔
Kaka shikamoo...
Kuna MAMA huku MTAANI kwetu ni katili sana, WATOTO wake wanafanya mambo ya hovyo yakuumiza na yakumchukiza hadi MUNGU
Cha ajabu haongei wala kukemea chochote yaani mpaka tunajiuliza au yeye ndo anawatuma?
Na kuna wengine wanamsifia sana kwamba hakuna kama MAMA na wanataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.