Suala sio misplacement na short sight. Hapo nimeelezea ni vipi matendo kama ubadhirifu serikalini unaweza pelekea inflation kwa namna moja au nyingine.
Suala la kupanda na kushuka bei.. liko wazi ni market forces ila sio kama hamna vitu vingine vinachochea mabadiliko hayo. Ukiacha mbali market...
Sawa ni vitu viwili tafauti ila vinaweza husiana. Sera za fedha zinaendeshwa na serikali na benk kuu. Hizi sera hubadilika mara kwa mara kutokana na mabadiliko ya kiuchumi. Sera za fedha zinazopangwa na serikali huwa zinaegemea aidha katika kutanua au kupunguza matumizi ya serikali na kodi. Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.