Sikia dogo.. kwanza unatakiwa utambue hela ya boom ipo kwa ajili ya masomo na sio matibabu... Pili mafanikio hayapo kwa ajili ya watu wasio na msimamo... Tatu kupata kwako boom kusikufanye ujione wewe ni mwajiriwa... kumbuka huo si mshahara bali ni Allowance za kukufanya usione shule ni ngumu...
Hayo yote ulitakiwa uyajua kabla ya kuchukulia poa masomo yako...
Mimi kwa upande wangu nakushauri.
Soma hiyo Semester moja mwaka huu kwa mkopo kisha mwakani nenda katafute kazi Suma JKT umalizie chuo
Kigezo muhimu ni muda aliokaa tangu kumaliza hiyo Diploma... vyengine ni Mbwembwe tu... Anatakiwa asiwe amekaa zaidi ya miaka mitano tangu amalize chuo... Pia mwakani ni mwaka wa uchaguzi Hivyo possibility ya kupata mkopo ni Set ya Real numbers... Yaani 99.9999999%
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Hapo kwenye jina la babu yako nimecheka sana.... Mimi nshazoeaga kutumia Sirname kweli Kizungu ni lugha ya kistaarabu
Ushataja mtaji tayari... Yani baada ya kugraduate ni familia ngapi zitaafford kukupa wewe mtaji... 0.001% Tusiongopeane hapa ... Hii ni Tanzania almost 80% mpka 90% ni watoto wa wakulima(Kipato cha chini) Na tunasoma tuajiriwe kisha tuzikomboe familia zetu!!... Hii mitazamo ya kujiajiri ni...
Nakushauri... Huu mwaka tafuta michongo ya kufanya... Kisha mwakani
Kwani siku hizi hakuna Fomu za uchaguzi... Mimi nadhani Watu wanaojitambua Huwa washafanya maamuzi kabla hamjafanya mtihani... Kwamba wataenda chuo au Form 5... Hiyo yote ni kuepuka gharama kama hizi kwani ungeenda Technical...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.