Changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya mijini ina vijijini inachochewa na uharibifu wa vyanzo vya maji na hivyo kufanya kiwango cha maji kinacho patikana kiwe kichache ukilinganisha na mahitaji ya watu wa Tanzania, Hivyo ili kutunza vyanzo vya maji, Mikakati hii mitano itasaidia...
Serikali Na wadau wa elim wanajitahidi katika kuweka miundombinu wezeshi ili kuiboresha elim ya Tanzania kuweza kuendana Na Soko la Ajira Ambalo Kwa Kiasi Kikubwa bado Tanzania ipo Nyuma Ukilinganisha Na Nchi nyengine za Afrika. Pamoja na Jitihada hizi Haya Ndio mambo Ambayo Yataendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.