Recent content by Jaymoh766

  1. Jaymoh766

    Mistari ya kisasa ya kutongoza kwa wale wasio na ujasiri

    e ban weee! ukiwa unatumia muwa kama fimbo au gongo la kujikongojea ukikushikwa kiu utautafuna tuuu.
  2. Jaymoh766

    Ndoto huwa zinatimia? Tushirikishane na kupeana uzoefu

    kawaida huwezi kuota bila kulala ,vile vile huwezi kuzifanikisha hizo ndoto kwa kulala. kwa vile pia ukilala sana utakula ulichokiota ni wewe uamke uzitimize hizo ndoto. kwenye ndoto pia kuna jinamizi na kuna njozi. njozi amka fanikisha na jinamizi simulia na kufuru.
  3. Jaymoh766

    Mistari ya kisasa ya kutongoza kwa wale wasio na ujasiri

    ina tasfida na imejaa busara nyingi.
  4. Jaymoh766

    Mistari ya kisasa ya kutongoza kwa wale wasio na ujasiri

    1.kwa kweli nimevutiwa kutaka kuwa karibu na wewe ili nipate kujua mengine unayojivunia zaidi ya urembo. 2 kwa mwonekano wako unavutia sana na una hadhi ya kuwa mwanamke wa mtu .naomba uniruhusu tuzitumie jinsia zetu kwa maana halisi 3 ilivyo kawaida mtu hakatai wito ila hukataa anachoitiwa...
Back
Top Bottom