Jamaa yangu kila siku amekuwa akiniuliza ni bidhaa gani ambazo unaweza kwenda kuziuza China zinazo toka tanzania na wachina wanazihitaji sana? Na upelekaji wake ukoje yaani usafiri? Msaada wenu wana jf
Kuna rafiki yangu anampenzi anae mpenda sana tatizo kwamba kila akikutana nae kimwili mpenzi wake anatoa harufu mbaya inayo sababisha muda mwingine asipende kufanya nae mapenzi, msaada wenu jaman tatizo nini na tunaweza kumsaidia nn ili kutoa harufu mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.