Kama huna mbanga maji marefu hii ngoma ya mwaka huu sahau kabsa naskia ngoma ngumu kwelikweli, kuna dogo yuko mlale ananiambia wamechukuliwa watu11 tu na hao wote ni wamaelekezo pia naona kambi zingne idadi ya waliochukuliwa ni kama iyo sasa sijui itakuaje.
Huu ndo ukweli👆……kwa wale mliopeleka barua pale ngome, kama utakua makin utaona kuna baadhi ya watu(wazazi) wanakuja na maelekezo na anampa maelekezo afande pale alaf afande anapokea hizo baasha anashika mkononi hazichanganywi na nyingine ( hao ndo wana mbanga sasa) nyie wengne zakwenu...
Mm sikatishi mtu tamaa ila nilivyoskia ni kwamba hili tangazo ni kama la mwaka jana na mwaka juzi tu (siasa), kwa wale wa uraiani tutaishia kuwaona tu watu wakiapa hapo kihangaiko kama walivyoapa juzi. Jeshi linachukua vijana waliokua makambini.
Mm mwaka jana kwenye mabio sikua mtu wa mwisho wala kweny watu50 wa mwanzo pia sikuepo lakin baada ya mchujo wa watu3000 nilikuemo kwenye wale 400 waliobaki, waliokua wakwanza kweny mabio weng tu walitemwa….hizi kazi za majeshi bila kua na mmbuyu walahi utaishia tu kuona wenzako wakiapa kama hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.