Mtoa mada usipotoshe serikali, mchakato huo wa consolidation unamaana pana sana na mfumo uliopo bandarini hakuna namna unaweza kwepa kulipa mapato ya serikali.
Be Forward ni kampuni yakijapan sema kuna wazawa hapa Tanzania wamechangamkia *fursa nakuwa agency* wao.
mara nyingi document...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.