Kuna ajira za shirika la compassion za kujikita kufanya ukusanyaji wa data (data collection) mine apply ila Kuna kipengele Cha kuweka "phone extension number"" nimeshindwa kukijaza. Hivyo naomb kuuliza.
Jaman hiyo phone extension number ni nini? Na naipata kwa njia gani?
Ahsante.
Habar ndgu. Naitwa Justine joseph, ni mwanafunzi Katika chuo Cha mt augustine tawi la Arusha. Nasoma kozi ya UTALII (bachelor of science in tourism and hospitality management).
Mbali na career yangu hiyo napenda na natafuta Kazi ya kujitolea kwa jamii ikiwa ni kwa mashirika ya umma au binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.