huyo mwanafunz ni atakuwa anakuja nyumban kwang au mm namfuata alipo?itategemea na eneo mtu alipo kama ni mbali au karibu na makazi yngu tutaelewana malipo.
mtaa ninaokaa tayari kuna shule mbili za bei nafuu na pia watoto hapa mtaani ni wachache ambao wanasoma.wazo hilo nimejitahid kulifanyia kaz lkn sikufanikiwa.plz help me friends
habar! naitwa JANET,mm ni mwalimu wa NURSERY nilikua nafundisha shule moja inaitwa ENJOY'S iliyopo DODOMA.lkn kwa sasa nimeamia DAR hivyo natafuta kazi.Nimetuma application kwenye shule mbalimbali lkn bado sijafanikiwa. Naomba msaada wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.