Recent content by jarnee

  1. J

    Natafuta kazi ya nursery school

    nimekuelewa.thanx
  2. J

    Natafuta kazi ya nursery school

    nimekuelewa.ahsante kwa ushauri wako
  3. J

    Natafuta kazi ya nursery school

    worry out friend.ahsante kwa kunijali, niko makini coz mambo hayo yalinitikea maeneo ya tabata.lkn nilikuwa radhi kukosa kazi coz naipenda ndoa yangu
  4. J

    Natafuta kazi ya nursery school

    huyo mwanafunz ni atakuwa anakuja nyumban kwang au mm namfuata alipo?itategemea na eneo mtu alipo kama ni mbali au karibu na makazi yngu tutaelewana malipo.
  5. J

    Natafuta kazi ya nursery school

    mtaa ninaokaa tayari kuna shule mbili za bei nafuu na pia watoto hapa mtaani ni wachache ambao wanasoma.wazo hilo nimejitahid kulifanyia kaz lkn sikufanikiwa.plz help me friends
  6. J

    Natafuta kazi ya nursery school

    habar! naitwa JANET,mm ni mwalimu wa NURSERY nilikua nafundisha shule moja inaitwa ENJOY'S iliyopo DODOMA.lkn kwa sasa nimeamia DAR hivyo natafuta kazi.Nimetuma application kwenye shule mbalimbali lkn bado sijafanikiwa. Naomba msaada wenu
Back
Top Bottom