Recent content by JAPEN

  1. J

    Wale wa Kibaha Sec School tujikumbushe

    Duuuuu vijana wa O level 1985-1988 na A level 1989-1991 tukumbukane
  2. J

    Wale wa Kibaha Sec School tujikumbushe

    Sanctus Nimekumbuka mengi hasa kwa mimi niliyekulia KSS kuanzia O - A level enzi za Dr. Mangi anatupakaa dawa ya fangus kwa sisi tuliotoka bara!! Nimemkumbuka mpaka marehemu Elias Nyiti(RIP), mgomo wa 1984 enzi za Msaki, Mama Nyiti,Mbawala(RIP),Mwenegoha,Lwebandiza,Masinde(RIP) na wengine...
Back
Top Bottom