Naunga mkono kabisa, suala la kuendeleza sehemu yako ya asili si ukabila. Lazima watu waelewe tafsiri halisi ya ukabila nini? Huwezi kusaidia watoto wajirani wakati wa kwako wanalia njaa. Hata misaada tunayopata kutoka ulaya, marekani na mabara mengine ni masazo tu.
Ndiyo maana maeneo mengi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.