Recent content by Jamsojamaal

  1. Jamsojamaal

    Natafuta soko la kamba za katani (sisal ropes & twines)

    Kwa bei mkuu ziko reasonable na zinategemea na size ya kamba ,urefu . Kuhusu soko la nje bado nipo kwenye research bado sijapata. Ila kama una muongozo wowote nitashkuru ukiniongoza.
  2. Jamsojamaal

    Natafuta soko la kamba za katani (sisal ropes & twines)

    Mkuu urefu wa coil max ni 220m, unene wa kamba tunazo kuanzia 06mm-50mm
  3. Jamsojamaal

    Natafuta soko la kamba za katani (sisal ropes & twines)

    Sana kamba ya plastic ni changamoto.
  4. Jamsojamaal

    Natafuta soko la kamba za katani (sisal ropes & twines)

    Connection ya kupata masoko huko mkuu
  5. Jamsojamaal

    Natafuta soko la kamba za katani (sisal ropes & twines)

    Habari wadau, Bado naendelea kutafuta masoko ya kamba za katani. Bei ziko vizuri. Kwa mwenye kufahamu/uhitaji tafadhali tuwasiliane.
  6. Jamsojamaal

    Sisal Ropes (kamba za katani)

    Nitashkuru .Mzigo upo wa kutosha mkuu, nipo kiwandani.
  7. Jamsojamaal

    Sisal Ropes (kamba za katani)

    Mkuu napokea mawazo yako na maoni,ili niweze kuboresha hili. Ahsante
  8. Jamsojamaal

    Sisal Ropes (kamba za katani)

    Teyar mkuu
  9. Jamsojamaal

    Sisal Ropes (kamba za katani)

    Wadau habarini za kazi. Bado natafuta wateja wa kamba za katani. Na pia naombeni msaada kupata kufahamu kuna wachina kwa dar wananunua sana kamba za katani. Mwenye kufahamu hili naomba anipatie link.
  10. Jamsojamaal

    Kamba za katani, Twines & Ropes

    Vyote vinakuwepo uzito na urefu ,inategemea na ujazo wa kamba nikimaanisha millimeters
  11. Jamsojamaal

    Kamba za katani, Twines & Ropes

    Bado natafuta soko la Kamba za katani. Mwenye kufahamu soko ama mwenye uhitaji tafadhali tuwasiliane.
  12. Jamsojamaal

    Wapi wanatengeneza Chupa za maji?

    Sawa mkuu shukrani
  13. Jamsojamaal

    Wapi wanatengeneza Chupa za maji?

    Sawa mkuu nimejaribu kucheki naona wanatengeneza matanki makubwa na nilikuwa nataka chupa kama zile za kilimanjaro za lita 18
  14. Jamsojamaal

    Wapi wanatengeneza Chupa za maji?

    Mi nipo Tanga ila nataka kujua wapi wanatangeneza hata kama ni dar nipate details tu wapi wanatengeneza ama kuuza mkuu Sawa mkuu ngoja niwacheki
  15. Jamsojamaal

    Wapi wanatengeneza Chupa za maji?

    Mi nipo Tanga ila nataka kujua wapi wanatangeneza hata kama ni dar nipate details tu wapi wanatengeneza ama kuuza mkuu
Back
Top Bottom