vijana acheni kulalamika system inawafuatilia muda wowote unaweza wekwa reserve na malipo yako kupungua sababu ya mambo ya hovyo yasiyo ya uzalendo. kua mzalendo kuna maisha baada ya sensa mzee.
kifungo kinakuhusu mkuu labda uwe na sababu zaidi ya msingi mfano mimi ramani imesoma pale pale tu kwasababu ni mtalaamu wa mambo ya survey nyie mnakosea sanaa mnavyo save na kuchukua gps location ,,mnaharaka sanaaa unatakiwa ukae sehemu ile ile nje kwa muda kidogo ili location yako itulie ndipo...
na kesho tunalipwa hela jiandaeni na pepa pia na malipo ya posho ni kesho kwahiyo wala msijari.
TUUTANGULIZE UZALENDO KWANZA.
KAZI HII NI YA KIZALENDO.
vijana tumepata kazi alafu siku ya kwanza ni kuhoji masuala ya posho,tusubiri hata week 2 tu haina shida serikali iko makini tutangulize uzalendo kwanza.
SENSA KWA MAENDELEO,JIANDAE KUHESABIWA.
SENSA OYEEEEEEEEEE!
MATOKEO YASHATOKA NAONA GROUP LINATAKA KUFA KABISAAA ,MAANA TOKEA MWEZI WA 5 TULIKUA PAMOJA NA UCHANGIAJI ULIKUA MKUBWA SANAAA LAKN SAHV KUMEPOA SANAA,WALIOKOSA JAMANI MSIKATE TAMAAA YOTEE KHERI TU PIA KUNA NAFASI ZA RESERVE MSIKOSE KUZIVIZIA KATANI AU KWENYE SEMINA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.