Recent content by James strong

  1. J

    Jamani nifanyaje kumpata mpenzi mkweli

    mpaka sasa nina miaka 35 na sijaoa ingawa natamani sana kufanya,nimedanganywa na wadada wawili,kila mmoja kwa wakati tofauti,sasa naogopa kabisa sasa sijui nifanyaje na kuoa nataka lakini namtafuta mkweli na mwaminifu
  2. J

    Ni busara kutumia jukwaa hili kuelimishana

    Nionavyo mimi ni busara tutumie jukwaa hili kuelimishana mambo ya msingi ya maisha badala ya mizahaa na mambo yasiyo ya kujengana,tuzungumze mambo ya kiroho na mwili pia ili mradi msomaji ajegwe na shida pia zijibiwe hapa jf,THANKS 2ALL
Back
Top Bottom