je unahisi selika haijafanya jitihada zozote katika upande wa masoko wezeshi.
Nionavyo Mimi. Selikali imechukuwa jitihada zifuatazo kama Serikali ya Tanzania imechukua hatua mbalimbali kukuza masoko ya ndani na nje kwa bidhaa zinazozalishwa nchini. Moja ya hatua hizo ni kuanzisha na kusaidia...
Tanzania, nchi yenye utajiri mkubwa wa rasilimali za asili, inaangalia mbele kwa matumaini katika kuleta mabadiliko makubwa katika sekta muhimu za uchumi wake: madini, utalii, na viwanda. Kwa miongo kadhaa, madini yamekuwa sehemu muhimu ya uchumi wa Tanzania, na jitihada za hivi karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.