That's all your wishes kwake ila tangu amekuwa madarakani it's about 23 years now,amekutana na hayo mara kibao Tena makubwa,ameyahimili kwakuwa anawapambania wananchi wake,muache I bwana
Hahaha,skia sasa,nikilijua Hilo litafaa nin? Haya wa Samia au Ruto au Museveni wamesomea wapi? What's the important point in that? Mimi nafahamu mpaka Ian Kagame ni mkuu wa kitengo Cha ulinzi wa Baba yake,yupo Ange na Brian,ila hyo sio point kwa sasa,stop HATE SPEECHES
Mwamba Hana chuki Wala hajakufanyia lolote,ila tu kwakuwa kaifanyia nchi yake makubwa from hell up to near to heaven ndo mnamchukiiiia,dah,kwani anachofanya hakuna wengine wanafanya? Unafahamu Marekani au Russia au China au wengine zinafnya maovu mangapi kuimarisha Dola zao? Unafahamu damu kiasi...
Ok,whatever you wish,ila tambua wengine tunayo experience juu ya hayo kwahiyo hatuwez kukubali mawazo ya upotoshaji ya kijinga yaliyojaa chuki yapite Bure,hata kama hatutaondoa hizo chuki mioyoni mwenu ila mjue sio wote tunazisapoti,tunaujua ukweli kwamba this World has a lot of majanga Ili...
Wewe ndo unayeelewa,good,ila jua mi sio shabiki wa chuki za kijinga,mnayoongea yote hamna facts Bali kushikilia takwimu za wenye chuki kama nyie,go on,and get what you are after baada ya hzo chuki
Acheni chuki za kijinga,unayoongea yamejaa chuki ubinafsi na hayana uchunguzi wowote Ili kuaminiwa,so acha uongo,this is an international affairs issue na ni ziara ya kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.