Jmn mim naomba msaada nilikua nasumbuliwa na fangasi za ukeni, nikapewa dawa nkatumia na sasa tatizo limeisha
Ila saiz natwok na maji meupe ukeni hayan muwasho wala hayana harufu mbaya ya kukela
Ila hayo maji yakikaa kweny chup kwa mda yana badirika na kua manjano🤢
Naomba kujua ni nn hii au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.