Recent content by JALUO

  1. J

    Msaada: Mguu wa kulia unavia maji. Ugonjwa gani huu?

    Wadau Mwanangu anasumbuliwa na ugonjwa mguu wa kulia unavia maji inatengeneza kitu kama kidonda pembeni ya mguu, hakiumi ukitumbua hutoa majimaji kama usaha. Hospital walinipa tube nipake nadhani za fungus Ila hakuna suluhu.
  2. J

    GE2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

    Kura zimeonekana? Au n blabla?
  3. J

    GE2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

    Choma tupa kuleeee....sasa ushahidi utasaidia nini?
  4. J

    Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

    Kupata 50% si kazi rahisi....watu wengi hawajajiandikisha, wapinzani wengi walijiandaa, usidhani kijani n wajinga
  5. J

    GE2020 Dar es Salaam: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Sasa walilalaje Nyumbani? Hawakujua hayo? Nyie nao washamba tu.
  6. J

    GE2020 Dar es Salaam: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Hili la mtandao kuwa dull haliwezi kutunyima Kura sie wakijani?
  7. J

    Maumivu makali Sana upande wa kulia wa tumbo chini ya titi

    Damu kubwa wakaangalia utendaji kazi wa figo na damu
  8. J

    Msaada: Maumivu makali chini ya tumbo upande wa kulia

    Bado kabisa ata Leo nliemda hospital bila mafanikio
  9. J

    Maumivu makali Sana upande wa kulia wa tumbo chini ya titi

    Naomba ushauri, halafu hizi kg zimegoma kupungua nlikua na 89 hardly nimerudi 88 maji ya kunywa pia kuna Muda najisahau....Ila untayoni pia maumivu na Kwa viganja vya mikono rangi inakua kama moayiko
  10. J

    Maumivu makali Sana upande wa kulia wa tumbo chini ya titi

    Kg 88 Mwanaume, asilimia 90 nakula wanga na matunda miguu pia inauma untayoni na mikono inapoteza rangi viganjani
Back
Top Bottom